- Jamaa huyo kutoka Colombia anasemekana kuoza uso wake baada ya upasuaji wake kufanywa na daktari bandia.
- Kijana huyo kwa jina,Trujillo, wa miaka 28 anasemekana kufanyiwa upasuaji mara 4 ilikujiregesha katika hali yake yakawaida aliyokuwa ila bila mafanikio sasa anasubiri kufanyiwa upasuaji mara 2 tena.


No comments:
Post a Comment