- Bi Lamora Williams, mama wa watoto wanne alishikwa kwa kosa la kuua watoto wake, Ja’Karter Penn mwaka 1 naye mtoto Ke-Yaunte Pennwere miaka 2 nyumbani kwake Atlanta.
- Vijana hao wawili walipatikana na polisi wamefariki wakiwa na majeraha ya moto mwilini mwao siku ya Ijumaa.

No comments:
Post a Comment